Kutokana na kilichojiri katika sakata la Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini David Jairo, Serikali imewaonya watumishi wa umma wanaotoa taarifa sehemu zisizohusika. unasemaje mdau.
Mimi ni Mwandishi wa harakati, Mtafsiri na Mwalimu wa Lugha mbalimbali.
Naguswa na matatizo yanayoizunguka jamii yangu, najua inawezekana jamii yetu kuwa bora zaidi kupitia utoaji taarifa makini. Kupitia hapa Nataka kushiriki katika mchakato wa kujenga jamii huru, na uhuru huo, uwe wa kweli kiukweli kweli. ahsanteni, twende pamoja.
No comments:
Post a Comment