Waziri Mkuu Mstaafu EDWARD LOWASSA,amewataka viongozi kuacha uwoga na kuthubutu kusimamia maamuzi ya serikali kwa manufaa ya taifa badala ya kusubiri mambo kuharibika ndipo wachukue uamuzi wa kuyatatua.
Mimi ni Mwandishi wa harakati, Mtafsiri na Mwalimu wa Lugha mbalimbali.
Naguswa na matatizo yanayoizunguka jamii yangu, najua inawezekana jamii yetu kuwa bora zaidi kupitia utoaji taarifa makini. Kupitia hapa Nataka kushiriki katika mchakato wa kujenga jamii huru, na uhuru huo, uwe wa kweli kiukweli kweli. ahsanteni, twende pamoja.
No comments:
Post a Comment